HABARI Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma linamshikilia mwanaume mmoja ambaye jina lake limehifadhiwa, mkazi wa kijiji cha Tingi kilichopo wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma, kwa tuhuma za kumjeruhi mke wake kwa kumchoma tumboni kwa kutumia kitu chenye ncha kali.
Akizungumza kuhusu tukio hilo, Kamanda...