Kulingana na ripoti ya UNESCO, kati ya lugha 1,500 na 3,000 (ikiwa ni pamoja na lahaja) zinazungumzwa kote barani Afrika.
Hizi ni lugha zinazo ongoza kwa kuzungumuzwa zaidi Barani Afrika
1. Kiswahili
Idadi ya wazungumzaji: zaidi ya watu milioni 230 wanazungumuza Kiswahili Afrika.
Kiswahili...