Klabu ya Young Africans FC ya nchini Namibia imeyaaga rasmi mashindano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika (CAF Confederation Cup) baada ya kupokea kichapo kizito cha jumla ya mabao 7-0 kutoka kwa Royal Leopards ya Eswatini katika hatua ya awali ya mashindano hayo.
Katika mchezo wa mkondo wa...