KIONGOZI WA KOREA KASKAZINI AMCHAGUA BINTI YAKE KUMRITHI KITI CHA URAIS
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amemchagua Binti yake Kim Ju Ae kurithi nafasi yake ya Urais.
Uthibitisho huo unakuja baada Binti huyo kuonekana mara kwa mara kwenye hafla za Serikali, mara nyingi akiandamana na...