Licha ya klabu ya Simba kutoa tamko la kususia kuleta timu uwanjani kwenye mchezo huo wa derby ya Kariakoo uliopangwa kuchezwa leo Machi 8, 2025 kufuatia kikosi chake kuzuiwa kufanya mazoezi ya mwisho kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetoa tamko kwamba mechi...