Advertise here

daraja

  1. Kasomi

    NECTA: Pointi za Madaraja Kidato cha Nne

    POINTI ZA MADARAJA KIDATO CHA NNE Fahamu Pointi za Madaraja zinazotumika Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) kwenye Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) kama inavyofafanuliwa katika jedwali hapo chini. Daraja la Kwanza 7-17 Daraja la Pili 18-21 Daraja la Tatu 22-25 Daraja la Nne linatolewa...
  2. Kasomi

    Ukitaka kupiga picha daraja la JP Magufuli uombe kibali

    WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema Wananchi, wataruhusiwa kupiga picha au kurekosi video katika Daraja la JP Magufuli (Kigongo–Busisi) lakini ni lazima kuomba kwanza kibali rasmi kutoka Wizara ya Ujenzi. Waziri Ulega amezungunza hayo leo Alhamisi, Juni 19, 2025 jijini Mwanza katika hafla...
  3. Kasomi

    Daraja la Kigongo-Busisi kuunganisha na SGR

    UPDATES Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema Daraja la Kigongo–Busisi ni sehemu muhimu ya kuunganisha miundombinu ya kimkakati inayowezesha usafirishaji wa mizigo kupitia reli ya kisasa ya SGR na barabara za mikoa, na hivyo kuongeza tija ya uwekezaji mkubwa wa miundombinu nchini...
Back
Top