Leonardo Da Vinci (Vinci,Toscana, Italia, 15 Aprili 1452 –Amboise, Ufaransa, 2 Mei 1519) alikuwamtu mwenye vipaji vingivingi kutoka italy
Kifupi, alikuwa mwanahisabati,mhandisi, mwanasayansi, mgunduzi,mwanaanatomi, mchoraji, mchongaji,msanifu majengo, mwanabotania,mwanamuziki na mwandishi...