Advertise here

digital clubs

  1. Kasomi

    TCRA Digital Clubs (Vilabu vya Kidijiti TCRA)

    VILABU VYA KIDIJITI Vilabu vya kidijiti ni vikundi vya Wanafunzi vya uhamasishaji wa masuala ya Kidijiti vilivyoanzishwa katika taasisi za elimu kwa lengo la kushirikishana ujuzi wa masuala ya kidijiti kwa wanafunzi na kuunda majukwaa ya kujengeana uwezo. Huundwa na wanafunzi wasiopungua wawili...
  2. Kasomi

    UDOM, IAA na RUCU Vinara wa Cyberchampions

    Vijana wanne kati ya 600 wameibuka Washindi wa Shindano la “CyberChampions” lililoandaliwa na kuratibiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) (@tcra_tanzania), likihusisha Vyuo zaidi ya 40 kutoka Taasisi mbalimbali za elimu ya juu Nchini. Washindi hao ni Amani Nsemwa kutoka Chuo Kikuu...
Back
Top