Abdulaziz Abubakar Chende Maarufu kama Dogo Janja mgombea Udiwani kata ya Ngarenaro kupitia Ccm Jijini Arusha anatuhumiwa kumpiga Risasi tatu mwanafunzi wa Kidato Cha nne shule ya Sekondari sombetini Bakari Khalifa kwa madai ya kuwa kijana Huyo ni kibaka.
Wakizungumza katika eneo la Tukio...