Advertise here

eatv

  1. Kasomi

    Wenye kilo chini ya 50 Waonywa Upepo Mkali China

    Wafanyakazi nchini China wameambiwa waharakishe kurudi nyumbani huku madarasa yakisimamishwa na hafla za nje zikifutwa kwa wakati kaskazini mwa China inajiandaa kwa upepo mkali wikendi hii. Mamilioni wamehimizwa kukaa ndani ya nyumba, huku baadhi ya vyombo vya habari vya serikali vikionya...
  2. Kasomi

    META imewafuta kazi wafanyakazi wake ishirini kwa kosa la kuvujisha taarifa za siri

    Kampuni ya META inayomilikiwa na Bilionea Mark Zuckerberg imewafuta kazi wafanyakazi wake ishirini kwa kosa la kuvujisha taarifa za siri za kampuni hiyo. ''Tunawaambia wafanyakazi wetu pindi wanapokuja kujiunga na kampuni hii na kuwakumbusha mara kwa mara kwamba ni kinyume na sera za kampuni...
  3. Kasomi

    TMA: Jua limesogea ndio Maana Joto ni kali

    Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema kuwa uwepo wa ongezeko la joto kali katika baadhi ya maeneo nchini hususani yanayopata misimu miwili ya mvua kwa mwaka kwa miezi ya hivi karibuni, imesababishwa na kusogea kwa jua la utosi sambamba na upungufu wa mvua unaojitokeza katika maeneo...
Back
Top