Nimesoma vizuri barua ya Simba Ila kuna sehemu Kama mbili wameniacha njia panda.
1. “Katika Sintofahamu hiyo, Simba iliarifiwa na Meneja wa Uwanja kuwa hana maelekezo ya kuruhusu mazoezi kufanyika bila maelekezo ya kamishna wa Mchezo”
Kupitia huu mstari ni wazi Simba hawajazuiliwa na mabaunsa...