Advertise here

kaguta museveni

  1. Kasomi

    Je, unafahamu kuwa Yoweri Kaguta Museveni ametawala Uganda kwa muda wa miaka 40 Mfululizo

    Yoweri Kaguta Museveni ametawala nchini Uganda kwa muda wa miaka 40 (hadi kufikia mwezi huu wa Januari 2026). Aliingia madarakani tarehe 29 Januari 1986 baada ya kuongoza vita vya msituni dhidi ya serikali ya kijeshi ya Tito Okello. Tangu wakati huo, amekuwa madarakani bila kukatiza, jambo...
Back
Top