Kesi ya uhaini dhidi ya Tundu Lissu kusikilizwa Mei 6
Kesi ya uhaini inayomkabili mwenyekiti wa chadema Tundu lisu inatarajiwa kusikilizwa Mei 6 ambapo Lisu anawakilishwa na mawakili 31.
Siku hiyo inatarajiwa kuamuliwa ikiwa kesi hiyo itasikilizwa mahakani au kupitia mtandao.
Haya yanajiri...