Vyombo mbalimbali vya Habari Nchini Zambia vimeripoti kwamba Mahakama Kuu ya Nchi hiyo imewahukumu kifungo cha miaka miwili jela Wanaume wawili ( Leonard Phiri Raia wa Zambia na Jasten Mabulesse Candunde Raia wa Msumbiji) kwa kile kilichodaiwa kuwa ni kosa la kujaribu kumloga Rais wa Zambia...