Anaitwa Luciano Re Cecconi, Huyu Alikuwa ni Mchezaji Maarufu wa Timu ya Taifa ya Italia na Klabu ya Lazio. Hii Ndio Simulizi Yake ya Kuhuzunisha Ambapo Mwaka 1977 Akiwa na Miaka 28 Alifariki kwa Kuuwawa Kisa Kikiwa ni 'Utani'. Huu Ulikuwa ni Msiba wa Kuhuzunisha Zaidi Katika Soka la Italia kwa...