Je, kumwaga manii usingizini ni ishara ya ugumba?
Wakati ambapo mwanamume anamwagaa manii akiwa usingizini, wataalamu wanaeleza hali hiyo kama ndoto pevu. Wanaume wengi huwajawa na wasiwasi, kwasababu wanahisi kwamba hatua hiyo ni ishara ya mapema ya kupungukiwa kwa manii au hata kuwa na...