Wakenya wako katika hatari kubwa ya maambukizi ya malaria kutokana na mbu aina ya Anopheles funestus kubadilika kitabia na kijenetiki.
Utafiti mpya umeonyesha kuwa mbu hawa sasa wanakwepa vyandarua kwa kuuma mchana wakiwa nje na pia wameanza kustahimili viua-viwadudu.
Wanasayansi kutoka...