Kurasa rasmi za Instagram na Facebook za aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Zimefungwa. Hapo awali baada ya account hizo kutokuwepo hewani zilizua taharuki kubwa kwa watu waliokuwa wakimfatilia baada ya kuripotiwa kutekwa kwake siku ya jana Oktoba 6, 2025
Baadae leo...