MAKINIKIA: SIKU JENERALI SARAKIKYA ALIPOTUNUKIWA CHEO NA RAIS MKAPA
Mwaka 2004, katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, wakati wa sherehe za miaka 40 ya kuanzishwa kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Rais na Amiri Jeshi Mkuu Benjamin William Mkapa alimtunuku cheo cha Jenerali Meja...