Advertise here

mpox

  1. Kasomi

    Wizara ya Afya imesema kwamba Tanzania imethibitisha kuwa na wagonjwa wawili wa Mpox

    HABARI Wizara ya Afya imesema kwamba Tanzania imethibitisha kuwa na wagonjwa wawili wa Mpox. Taarifa hiyo imetolewa leo Machi 10, 2025 na kueleza kuwa Machi 7 Wizara ya Afya kupitia mifumo yake ya ukusanyaji wa taarifa na ufuatiliaji wa magonjwa ilipokea taarifa za uwepo wa wahisiwa wenye...
  2. Kasomi

    Jenista Mhaga Tahadhari ya Mpox Tanzania, Epuka Mabusu/Kujamiana

    Waziri wa Afya, Jenista Mhagama amesema kwa kuzingatia kuwa magonjwa mengi yanayosababishwa na virusi hayana tiba mahususi ila mgonjwa anahudumiwa kulingana na dalili alizonazo na kufuatia kuthibitika kwa Wagonjwa wawili wa ugonjwa wa Mpox nchini, Wizara ya Afya inawasihi na kuwasisitiza...
Back
Top