Bilionea namba 1 ulimwenguni Elon Musk amekuwa binadamu wa kwanza kufikisha utajiri wa dola bilioni 500 (zaidi ya kwadrilioni 1 ya kitanzania)
Kwa mujibu wa Forbes, utajiri wa Musk ulifikia dola bilioni 500. 1 jana Jumatano.
Mafanikio sokoni ya Kampuni yake ya magari ya Tesla na ongezeko la...