Kampuni zilizo Ibuka (Startups) za Tanzania na Kutamba zaidi mwaka 2018
Zimekuwa mstari wa mbele kutumia teknolojia kutatua changamoto za jamii na kuwa sehemu ya uboreshaji wa maisha ya wananchi. Zimewekeza zaidi katika kutumia teknolojia na kujipatia umaarufu ndani na nje ya Tanzania. Lakini...
Mfahamu Given Edward, mtanzania aliyeshinda tuzo mbili za kimataifa katika sekta ya elimu
Novemba 30, 2018 Mtabe ilishindana na wabunifu washindi kutoka bara la Asia na bara la Ulaya. Mtabe ilishinda kama mshindi wa jumla na kutunukiwa tuzo ya ubunifu bora kutoka katika mabara hayo matatu...