Advertise here

ndugai

  1. Kasomi

    Wanachama 24 wa CCM walitaka Jimbo la Kongwa

    Siku chache baada ya kuzikwa kwa aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Kongwa, Hayati Job Yustino Ndugai, mchakato wa kisiasa wa kujaza nafasi ya ubunge wa jimbo hilo umeanza upya kwa kasi. Mnamo Siku ya jana Agosti 12, 2025, jumla ya...
  2. Kasomi

    Kura za maoni kupigwa upya Jimbo la Kongwa

    UPDATES Mchakato wa kura za maoni katika Jimbo la Kongwa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) unatarajiwa kufanyika upya Jumapili Agosti 17, 2025 kufuatia kifo cha aliyeongoza kura za maoni, hayati Job Ndugai. Akitangaza utaratibu mzima, Katibu wa CCM Wilaya ya Kongwa, Joyce Mkaugala amesema...
Back
Top