Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma limethibitisha kumpata Padre Camillius Nikata wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Songea, ambaye alikuwa ameripotiwa kupotea tangu Oktoba 9, 2025 ambaye amepatikana akiwa salama katika mashamba ya Kijiji cha Mawa, kata ya Hanga, wilayani Namtumbo.
Kamanda wa Polisi...