Advertise here

sensa

  1. Kasomi

    SENSA 2022: Idadi ya Watu Tanzania imefikia milioni 61,741,120

    Tanzania ina idadi ya watu 61,741,120. Watu 59,851,347 wapo Tanzanzia bara na 1,889,773 Tanzania zanzibar. Wanawake wapo 31,687,990 sawa na asilimia 51 ya watu wote na wanaume ni 30,530,130 sawa na asilimia 49 ya watu wote. Kati ya mwaka 2012 hadi 2022, ongezeko la watu ni 19,812,197 sawa na...
  2. Kasomi

    SENSA 2022: Idadi ya Watu Tanzania imefikia milioni 61,741,120

    Tanzania ina idadi ya watu 61,741,120. Watu 59,851,347 wapo Tanzanzia bara na 1,889,773 Tanzania zanzibar. Wanawake wapo 31,687,990 sawa na asilimia 51 ya watu wote na wanaume ni 30,530,130 sawa na asilimia 49 ya watu wote. Kati ya mwaka 2012 hadi 2022, ongezeko la watu ni 19,812,197 sawa na...
  3. Kasomi

    Maelezo/Ndodoo Muhimu za Maombi ya Ajira Katika Mfumo; Ajira za Muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi 2022

    MFUMO WA MAOMBI YA KAZI ZA UKARANI NA USIMAMIZI WA SENSA DONDOO ZA MAOMBI YA AJIRA KARIBU KATIKA MFUMO AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022. MAELEZO/ DODNDOO MUHIMU 1- Soma Tangazo la Ajira kwa umakini, kabla ya kutuma maombi. 2- Hakikisha Taarifa zote...
  4. Jamii opportunities

    Ajira Za Sensa 2022 kwa Makarani na Wasimamizi

    Ajira Za Sensa 2022 kwa Makarani na Wasimamizi. SIFA ZA WAOMBAJI 1. Elimu ya Kidato Cha Nne na Zaidi 2. Awe na Uzofu wa Kutumia Simu Janja/Kishkwambi 3. Awe Mtumishi wa Umma, Sekta Binafsi, au Yeyote asiye na Ajira anayeishi Eneo husika 4. Umri ni Kuanzia Miaka 18-45 5. Asiwe amewahi Kutiwa...
  5. Kasomi

    Rais Samia atangaza Agosti 23, 2022 kuwa tarehe rasmi ya sensa nchini.

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizindua nembo na tarehe ya sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 Zanzibar, leo tarehe 08 Aprili, 2022 Golden Tulip Hotel, Zanzibar. Rais Samia ameanza kuzungumza muda huu... Rais Samia: "Taarifa nilizonazo ni kuwa oparesheni...
Back
Top