Hiyo ndio sehemu ya Google ambayo hutumika kuhifadhia data zote za internet inaitwa Google data center.
Unaambiwa hapo kwa kila sekunde wanapata maombi zaidi ya watu 63,000 na 5.6 bilioni kwa siku wanaotafuta data fulani kutoka sehemu zote Duniani
Ata hii post au hiyo comment yako tayari ipo...