Soko maarufu la Mashine Tatu lililopo katika Manispaa ya Iringa limeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo, Julai 12, 2025. Moto huo umeharibu vibanda na maduka mengi katika soko hilo linalouza mali mbichi, huku taarifa zikithibitisha kuwa hakuna mali iliyookolewa. Chanzo cha moto huo bado...