Advertise here

sungusila

  1. Kasomi

    Musukuma: Wastaafu wasiteuliwe waachie nafasi kwa vijana

    MBUNGE wa Geita Joseph Kasheku Musukuma ameishauri serikali kuacha kuteua wenyeviti wa bodi watu waliostaafu bali wateuliwe vijana wenye maono mapya yatakayolisaidia taifa kupiga hatua. Msukuma, amesema hayo leo bungeni jijini Dodoma, wakati akichangia mjadala kuhusu mpango elekezi wa maendeleo...
  2. Kasomi

    Kijiji cha Sungusila

    Sungusila ni kijiji katika kata ya Nzera ya Wilaya ya Geita katika Mkoa wa Geita, Tanzania. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kijiji kilikuwa na zaidi ya wakazi wapatao 7,321 waishio humo. Msimbo wa posta ni 30120. Kijiji cha Sungusila ni miongoni mwao vijiji vya Kata ya Nzera...
  3. Kasomi

    Asili ya Jina Geita na Historia yake

    Asili ya Jina Geita na Historia yake Asili ya jina Geita: Neno Geita limetokana na maneno matatu ya kabila la Wayango (Warongo) ambayo ni Akabanga keita abhantu likiwa na maana kupotea kwa mazingara ambayo yalikuwa kwenye mlima huo wa Akabanga keita abhantu uliokuwa ukitumiwa na warongo kama...
Back
Top