Muktasari:
Nafasi hizo ni za ajira kada mbalimbali huku mwisho wa kuomba ukiwa ni Februari 20, 2025
Dar es Salaam. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imetangaza nafasi 350 za ajira katika kada mbalimbali
Tangazo la nafasi hizo limetolewa leo Alhamisi Februari 7, 2025 na...