Karume day ni siku ambayo huazimishwa kila ifikapo tarehe 07/04 kila mwaka kwa Tanzania nzima (Bara na visiwani).
Je, karume ni nani?
Sheikh Abeid Amani Karume alikuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar. Alizaliwa mwaka 1905 na kufariki tarehe 7 Aprili 1972 kwa kupigwa risasi.
Karume aliongoza nchi...