VITA YA MADENI; AINA KUU 2 ZA MADENI.
Anaandika Festo Amos
Wengine madeni yanawaua wengine madeni yanawainua, walio chini yanawadidimiza na walio juu yanawapaisha, wenye hekima hutumia mikopo kama daraja la wajinga hutumia mikopo kama kamba za kunyonga maisha yao.
Lakini yote katika yote ili...