Waziri wa Afya, Jenista Mhagama amesema kwa kuzingatia kuwa magonjwa mengi yanayosababishwa na virusi hayana tiba mahususi ila mgonjwa anahudumiwa kulingana na dalili alizonazo na kufuatia kuthibitika kwa Wagonjwa wawili wa ugonjwa wa Mpox nchini, Wizara ya Afya inawasihi na kuwasisitiza...