Singida, Tabora na Dodoma hiyo mikoa inachangangamoto kubwa ya maji, ni jambo la kushangaza viongozi wanapeleka makao makuu ya nchi Dodoma sehemu ambayo mji ni shida kwa wananchi wangetatua hizo changamoto za maji hiyo mikoa ingekua
Pwani ni wavivu wanapenda umwinyi kuliko maendeleo, na utaona wachakarikaji ni watu kutoka mikoa mingine lakini wenyeji wameshikilia mambo yasiyo na tija
Hiyo mikoa aliyeifanya kuwa masikini ni serikali ya CCM, huko katavi ni wazalishaji wakubwa wa mahindi, lakini wamepakizana na ziwa rukwa, lakini mkoa haujafunguka kwa sababu ya miundo mbinu
Lakini pia kwa upande wa pili, waliokuwa wanaambiwa wakajionyeshe kwa makuhani walikuwa ni wenye ukoma, na hao watu walitengwa kutoka kwenye jamii zao, ili warudi tena ni lazima Kuhani athibitishe ndipo amrudishe kwenye kundi