Ndege ndogo iliyokuwa imebeba watu 12 imeanguka katika eneo la kaunti ya Kwale, pwani ya Kenya, na kusababisha vifo vya watu wote waliokuwa ndani, kwa mujibu wa taarifa kutoka Mamlaka ya Usafiri wa Anga ya Kenya (KCAA).
Mkurugenzi Mkuu wa KCAA, Emile Arao, amethibitisha kuwa ndege hiyo yenye...