Nini hutokea baada ya kifo cha Papa Francis?
Ulimwengu na haswa waumini wa Kanisa Katoliki limetumbukia katika majonzi baada ya kutangazwa kuwa kiongozi wao Papa Francis amefariki akiwa na umri wa miaka 88.
Nini kinatokea?
Mazishi ya papa kwa kawaida yamekuwa tukio la kipekee na lenye mambo...