UZI WA KIJOBLESS NA MBINU ZA KIDGREE
Kuna kipindi maisha yalinifanya niitwe King Sammy, ilhali sikuwa hata na kiti cha mstatili nyumbani. Nilikuwa mtaa flani Tabata.
Kipindi ambacho nilikuwa nikipata afu tano nahisi kama nimepokea sms ya
"umeshinda jackpot ya SportPesa"
Sasa mimi nilikuwa...