MICHEZO: Kocha Fadlu Davids amewaaga rasmi mashabiki wa klabu ya Soka ya Simba baada ya kuhudumu kwa kipindi cha mwaka mmoja na miezi miwili ndani ya klabu hiyo
Fadlu ambayeni raia wa Afrika Kusini mwenye umri wa miaka 44 amesema amepokea upendo mkubwa sana kutoka kwa mashabiki hao tangu...