Huu ni Uzi Maalumu wa kuweka na kujuzana Mambo tusiyo yakua na kufahamishana.
====
Je, wajua Mkoa wa Dar es salaam una idadi kubwa ya Watu kuzidi Nchi ya Croatia?
Mkoa wa Dar es Salaam una watu wengi zaidi, 5,282,728 sawa na asilimia 8.7 ya watu wote nchini Tanzania wakati Croatia ina idadi ya...