POINTI ZA MADARAJA KIDATO CHA NNE
Fahamu Pointi za Madaraja zinazotumika Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) kwenye Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) kama inavyofafanuliwa katika jedwali hapo chini.
Daraja la Kwanza 7-17
Daraja la Pili 18-21
Daraja la Tatu 22-25
Daraja la Nne linatolewa...
Serikali kupitia Ofisi ya Rais-TAMISEMI inatoa fursa ya mwezi mmoja kwa wanafunzi waliohitimu Kidato cha Nne mwaka 2024 kubadili tahasusi au kozi itakayomwandaa kuwa na utaalamu stahiki katika maisha yao ya baadaye, Utaratibu huo umeanza Machi 31 hadi Aprili 30 mwaka huu.
Akizungumza na...