DAR ES SALAAM — Taasisi ya JamiiAfrica imezinduliwa rasmi Jana April 24, 2025, ikichukua nafasi ya iliyokuwa JamiiForums, sambamba na uzinduzi wa Mpango Mkakati wa miaka sita unaoelekeza mwelekeo mpya wa taasisi hiyo ndani na nje ya Tanzania.
Mpango huo unalenga kupanua wigo wa utendaji...