Manusura wa ajali ya ndege waliokula maiti za wenzao ili waishi
Timu ya raga ya shule ya Old Christians Club kutoka Montevideo, Uruguay ilikodi ndege ya Jeshi la anga la Uruguay kusafiri Oktoba 13, 1972 hadi Santiago, Chile.
Wakisafiri kwenda kucheza mechi dhidi ya Old Boys katika jiji hilo...