Kwa mujibu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) kupitia ripoti ya National Accounts of Mainland Tanzania 2024, pato la wastani la mtu mmoja (GDP per capita) Tanzania Bara ni Tsh 3,058,847 kwa mwaka 2023.
Hata hivyo, mikoa kadhaa bado ipo chini ya kiwango hicho ikionesha changamoto za maendeleo ya...