Advertise here

microsoft

  1. Kasomi

    Microsoft imethibitisha kuwa, Kuanzia October 14, 2025 Vifaa vyote vinavyotumia Windows 10 havitapokea Software Updates, Support na Security feature

    Microsoft imethibitisha kuwa, Kuanzia October 14, 2025.. Vifaa vyote vinavyotumia Windows 10 havitapokea Software Updates, Support na Security features daima. Hii ni sawa na Kumaanisha “Mtoto Amekua Akajitegemee”. , Wameamua Kuitelekeza Windows 10 kama Ilivyokuwa Katika Windows 7 na Windows 8...
  2. Kasomi

    Watumiaji wa Windows watalazimika kulipia app ya Notepad ili kupata features mpya

    Watumiaji wa Windows watalazimika kulipia app ya Notepad ili kupata features mpya. Kwa zaidi ya miaka 42, app ya Notepad ni app ya bure ambayo imekuwa ikipatikana ndani ya mfumo wa kompyuta ambazo zinatumia Windows. Ni app ya kuandika notes, codes, texts na kazi simple za maandishi...
Back
Top