Advertise here

nala

  1. Kasomi

    Kampuni zilizo Ibuka (Startups) za Tanzania na Kutamba zaidi mwaka 2018

    Kampuni zilizo Ibuka (Startups) za Tanzania na Kutamba zaidi mwaka 2018 Zimekuwa mstari wa mbele kutumia teknolojia kutatua changamoto za jamii na kuwa sehemu ya uboreshaji wa maisha ya wananchi. Zimewekeza zaidi katika kutumia teknolojia na kujipatia umaarufu ndani na nje ya Tanzania. Lakini...
  2. Kasomi

    Mfahamu Benjamin Fernandes; Maisha na historia yake

    Benjamin Fernandes (amezaliwa 25 Novemba 1992) ni mjasiriamali wa Tanzania aliyewahi kuwa mtangazaji wa runinga. Alifanya kazi katika kampuni ya The Bill and Melinda Gates Foundation iliyopo nchini Marekani. Alikuwa Mtanzania wa kwanza kusoma Stanford Graduate School of Business kama Africa...
  3. Kasomi

    Ifahamu Nala Money

    Nala Money NALA Money ni application ya kifedha iliyoanzishwa mwaka 2017 na Benjamin Fernandes ambayo inatoa huduma ya miamala ya kifedha kama vile kufanya malipo na kutuma fedha Afrika nzima Kampuni ya NALA Money ipo kwenye baadhi ya nchi za Afrika kama vile Tanzania, Kenya na Uganda tena ipo...
Back
Top