Watu hushangaa wanavyo sikia kuwa Dubai sio nchi sababu wengi huzani Dubai ni nchi, lakini ukweli ni kwamba sivyo, Dubai ni Emirate tu yaani Milki au falme.
Lakini shaka hii ya iwapo Dubai ni nchi hutokea kutokana na uwezo wake na umaarufu wake duniani hivyo ndipo watu wengi huzani hii ni nchi...
JESHI la Polisi mkoani Geita linamshikilia Martha Japhet (44) mkazi wa kitongoji za Mzalendo Kijiji cha Mawemelo kata ya Nyarugusu wilaya ya Geita kwa tuhuma za kumuua na kisha kumzika ndani mme wake.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita, Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Safia Jongo...
SWALI:
Assalamu aleikum,
Nimefurahi sana baada rafiki yangu kunipa website hii ambayo tunajifunza mengi kwa uwezo wa Allah (Alhamdulillah Rabil-alamina) Suali langu ni kutaka kujua ndani ya Al-Kaaba mna nini? Ahsante
JIBU:
AlhamduliLLaah Himidi Anastahiki Allaah (Subhaanahu wa Ta’aala) Rabb wa...
UBUNIFU NI MOJA KATIKA MAMBO MUHIMU
Mwaka 1989 Alan Francis aliandika kitabu chake kilikuwa na kurasa 128. Kitabu hiki kilikuwa na kichwa cha habari kinachosema EVERY THING MEN KNOW ABOUT WOMEN. Kwa maana kuwa kila kitu ambacho wanaume wanaokunywa kuhusu wanawake.
Kitabu hiki kilieleza kuwa...