Wakili Peter Madeleka anatukumbusha kuwa Sheria ya Uchawi (The Witchcraft Act), Sura ya 18 ya Sheria za Tanzania ni sheria inayodhibiti masuala yanayohusiana na imani, vitendo na madai ya uchawi nchini. Kwa kifupi, sheria hii haikubali wala kuhalalisha uchawi, bali inalenga kuzuia madhara...