Waziri wa TAMISEMI, Innocent Bashungwa leo amesema "Kwa kuangalia takwimu za mwaka 2022, kumekuwa na ongezeko la Wasichana 7,555 waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano na Vyuo vya Ufundi ukilinganisha na mwaka 2021, hata hivyo idadi hii bado ni ndogo kulinganisha na Wavulana, ili kukabiliana...