Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maeneleo (CHADEMA), Tundu Lissu, anatarajiwa kufikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam leo, Jumatatu Mei 19, 2025, wakati kesi inayomkabili ikiendelea.
Lissu anakabiliwa na kesi mbili ambazo ni kuchapisha taarifa za uongo...