Askofu wa Kanisa la Glory of Christ Tanzania Josephat Gwajima ambaye kanisa lake limefungwa na serikali ya Tanzania amesema bado haelewi uhusiano uliopo kati ya hotuba yake ya kupinga vitendo vya utekaji na kanisa lake kufungwa.
Amesema hayo alipozungumza na waandishi wa habari leo Julai 16...