Advertise here

uteuzi

  1. Kasomi

    Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi mbalimbali kama ifuatavyo

    JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS, IKULU Dar es Salaam 23 Juni, 2025 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uhamisho na mabadiliko ya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa...
Back
Top